Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, December 14, 2011

Dunia imeisha....!

MAMA MTU MZIMA AMWAGA RADHI KWEUPE PEE!NA KUMFANDHAISHA BABU

Mama mmoja mtu mzima alifumaniwa uswahilini akimwaga radhi mbele ya umati wa watu uliojaa watoto na watu wazima baada ya kupandisha mzuka wa taarabu na kujikuta anazungusha nyonga kiasi cha kufikia kuvua nguo. Katika kituko hicho babu mmoja wa makamo alionekana kushabikia kiasi cha kumfanya apate mfadhaiko na kujichafua!

 Mambo yalianza hivi baada ya kulisikia taarab....juma! juma! wewe...!

Mara, Babu akaanza tamaa...........

 Ooooh! Babu akaona isiwe tabu......

Babu akaendelea na kuamua kujimilikisha kwa kukataza wengine kugusa.....!

(Picha nyingine zimeondolewa kutokana na kuwa kinyume na maadili)

1 comment:

  1. Aka km ni mama yng sina radhi nae! Kwan kucheza na nguo hainogi,inaelekea huyo ndo mcheza kombolela wa zaman

    ReplyDelete