Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, September 15, 2016

MBWANA SAMATTA: MTANZANIA WA KWANZA KUCHEZA LIGI YA UEFA EUROPA CUP

Mbwana Ally Samatta leo kama atafanikiwa kupangwa katika kikosi cha kwanza cha timu yake ya KRC Genk ya Ubeligiji kinachotazamiwa kupambana na timu ya SK Rapid Wien leo mnamo saa 1 kamili usiku ataweka rekodi ya kuwa ni mchezaji pekee kutoka nchini Tanzania aliyewahi kucheza katika mashindano hayo ambayo ni ya pili kwa ukubwa barani Ulaya.  Na Mwandishi.
Pichani Mbwana Samatta akicheza kwenye Ligi ya Ubeligiji 

MBWANA SAMATTA: MTANZANIA WA KWANZA KUCHEZA LIGI YA UEFA EUROPA CUP

Mbwana Ally Samatta leo kama atafanikiwa kupangwa katika kikosi cha kwanza cha timu yake ya KRC Genk ya Ubeligiji kinachotazamiwa kupambana na timu ya SK Rapid Wien leo mnamo saa 1 kamili usiku ataweka rekodi ya kuwa ni mchezaji pekee kutoka nchini Tanzania aliyewahi kucheza katika mashindano hayo ambayo ni ya pili kwa ukubwa barani Ulaya.  Na Mwandishi.
Pichani Mbwana Samatta akicheza kwenye Ligi ya Ubeligiji  

KONA YA LIVE FOOTBALL......LIGI YA UEFA EUROPA

Manchester united leo itakuwa kibaruani wakati itakapokuwa mgeni wa timu ya Feyenoord katika mji wa Rotterdam nchini Uholanzi... Mtanange huo unategemewa kupigwa mnamo saa 1:30 jioni kwa saa za Afrika Mashariki