Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, September 15, 2016

MBWANA SAMATTA: MTANZANIA WA KWANZA KUCHEZA LIGI YA UEFA EUROPA CUP

Mbwana Ally Samatta leo kama atafanikiwa kupangwa katika kikosi cha kwanza cha timu yake ya KRC Genk ya Ubeligiji kinachotazamiwa kupambana na timu ya SK Rapid Wien leo mnamo saa 1 kamili usiku ataweka rekodi ya kuwa ni mchezaji pekee kutoka nchini Tanzania aliyewahi kucheza katika mashindano hayo ambayo ni ya pili kwa ukubwa barani Ulaya.  Na Mwandishi.
Pichani Mbwana Samatta akicheza kwenye Ligi ya Ubeligiji 

MBWANA SAMATTA: MTANZANIA WA KWANZA KUCHEZA LIGI YA UEFA EUROPA CUP

Mbwana Ally Samatta leo kama atafanikiwa kupangwa katika kikosi cha kwanza cha timu yake ya KRC Genk ya Ubeligiji kinachotazamiwa kupambana na timu ya SK Rapid Wien leo mnamo saa 1 kamili usiku ataweka rekodi ya kuwa ni mchezaji pekee kutoka nchini Tanzania aliyewahi kucheza katika mashindano hayo ambayo ni ya pili kwa ukubwa barani Ulaya.  Na Mwandishi.
Pichani Mbwana Samatta akicheza kwenye Ligi ya Ubeligiji  

KONA YA LIVE FOOTBALL......LIGI YA UEFA EUROPA

Manchester united leo itakuwa kibaruani wakati itakapokuwa mgeni wa timu ya Feyenoord katika mji wa Rotterdam nchini Uholanzi... Mtanange huo unategemewa kupigwa mnamo saa 1:30 jioni kwa saa za Afrika Mashariki

Thursday, March 24, 2016

MAKONDA, MKUU MPYA WA MKOA MWENYE HOFU YA MUNGU

Mkuu mpya wa mkoa wa Dar-es-Salaam Mh. Paul Makonda ameonesha ni kiongozi shupavu na mwenye hofu ya Mungu. Hayo yamethibitika baada ya kuonekana akipata mibaraka kutoka kwa viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Kiongozi wa Wakatoliki Kadinali Pengo.

Tuesday, March 15, 2016

EPL: LEICESTER CITY YAIBANJUA NEWCASTLE UNITED NA KUJIIMARISHA KILELENI

Timu ya soka ya Leicester City imeibanjua timu ya Newcastle kwa bao moja bila na kuendelea kuongoza ligi kuu ya England.
Katika mchezo huo, mshambuliaji kutoka Japani Ozaki aliipayia timu yake bao pekee la ushindi.

Monday, March 14, 2016

PICHA 7: MBWANA SAMATTA ALIVYONG'AA UBELIGIJI

Mshambuliaji wa timu ya KRC Genk ya nchini Ubeligiji Mtanzania Ally Mbwana Samatta ameendelea kuwika mwishoni mwajuma hili baada ya kuiongoza timu yake kuibanjua timu ya Oostvede FC kwa magoli 4-1 katika dimba lao la nyumbani.
Samatta alikuwa wa kwanza kuifungia timu yake bao katika dk 23 baada ya kuunganisha kwa kichwa cha kuibia krosi iliyopigwa kutoka upande wa kushoto. Mpaka sasa Samatta ameshacheza mechi 6 na amekwisha funga jumla ya mabao 2.

Akiwahadaa wazungu.....

Samatta akifunga bao kwa kichwa

Samatta akipongezwa na wenzake..

Thursday, February 11, 2016

AJALI YA BASI LA SIMBA MTOTO

Basi la Kampuni ya SIMBA MTOTO lililokuwa linatokea Tanga asubuhi hii limepata ajali maeneo ya mkanyageni kwa kugongana na lori uso kwa uso inasadikiwa watu wengi wamefariki akiwamo Dereva na Kondakta wake. Picha na ripota wetu

 
 

UZEMBE WA KIVUKONI WAHATARISHA MAISHA YA WAKAZI WA KIGAMBONI

Wakazi wa Kigamboni asubuhi ya leo wamenusurika kuzama baharini baada ya kivuko cha MV Kigamboni kujaza abiria kupita kiasi na kusababisha kivuko hicho kushindwa kuinua milango yake. Picha na ripota wetu.

Kivuko kikijaza abiria zaidi ya uwezo wake
 
Mlango wa Kivuko ukigoma kufunga 
Abiria wakijitosa baharini kuokoa maisha yao..