Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, March 24, 2016

MAKONDA, MKUU MPYA WA MKOA MWENYE HOFU YA MUNGU

Mkuu mpya wa mkoa wa Dar-es-Salaam Mh. Paul Makonda ameonesha ni kiongozi shupavu na mwenye hofu ya Mungu. Hayo yamethibitika baada ya kuonekana akipata mibaraka kutoka kwa viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Kiongozi wa Wakatoliki Kadinali Pengo.

No comments:

Post a Comment