Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Monday, March 14, 2016

PICHA 7: MBWANA SAMATTA ALIVYONG'AA UBELIGIJI

Mshambuliaji wa timu ya KRC Genk ya nchini Ubeligiji Mtanzania Ally Mbwana Samatta ameendelea kuwika mwishoni mwajuma hili baada ya kuiongoza timu yake kuibanjua timu ya Oostvede FC kwa magoli 4-1 katika dimba lao la nyumbani.
Samatta alikuwa wa kwanza kuifungia timu yake bao katika dk 23 baada ya kuunganisha kwa kichwa cha kuibia krosi iliyopigwa kutoka upande wa kushoto. Mpaka sasa Samatta ameshacheza mechi 6 na amekwisha funga jumla ya mabao 2.

Akiwahadaa wazungu.....

Samatta akifunga bao kwa kichwa

Samatta akipongezwa na wenzake..

No comments:

Post a Comment