Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, December 15, 2011

Wanawake....

KONGAMANO LA MWANAMKE WA KITOFAUTI KUFANYIKA DAR-ES-SALAAM DECEMBER 17

Naibu Mkurugenzi wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bi. Jacqueline Maleko, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), kuhusu kongamano la mwanamke wa kitofauti, litakalofanyika Dar es Salaam, Desemba 17, mwaka huu. Kushoto ni Mkurugenzi wa Benki ya wanawake Tanzania Bi Margaret Chacha.

No comments:

Post a Comment