Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Tuesday, December 13, 2011

Sakata la Posho za wabunge....

POSHO ZA WABUNGE ZASIMAMISHWA ZIKISUBILI MAAMUZI YA JK
Ongezeko jipya la posho za waheshimiwa wabunge hazitoendelewa kugawiwa mpaka litakapotoka tamko rasmi kutoka kwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Mrisho Kikwete kuhusiana na ongezeko hilo.
Wiki iliyopita, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda alitangaza mjini Dar-es-Salaam kuwa posho za wabunge sasa zimeongezwa kwa asilimia 185 hadi kufikia shilingi 200,000 kwa siku.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

No comments:

Post a Comment