Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, December 1, 2011

Jerry Murro.....

MAHAKAMA YAMWACHIA HURU JERRY MURO

Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, imemwachia huru aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC 1), Jerry Muro na wenzake ambao walikuwa wanakabiliwa na makosa ya kula njama na kuomba rushwa ya sh. milioni 10 baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashtaka. Jerry ambaye alifunga pingu za maisha na mkewe hivi karibuni alileta hali ya kutofahamu iwapo angeenda lupango ni nini kingetoke kwa my wife wake.

Jerry Muro

 Jerry Muro akitoka Mahakamani na my wife wake.


 Siku Jerry Muro alipofunga ndoa na my wife wake wiki chache kabla ya kutolewa kwa hukumu yake. (Picha kwa hisani ya Global Publishers)




No comments:

Post a Comment