Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Friday, December 30, 2011

Uhaba wa Maji...

BANK YA KCB YATOA MSAADA WA VISIMA

Meneja wa Benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha, Bi Judith Lubuva (kushoto), akimtwisha ndoo ya maji, mwanafunzi Samwel John wa shule ya Msingi Meru, baada ya kuzindua kisima cha maji, kilichochimbwa kwa msaada wa benki hiyo, Jijini Arusha juzi, Wanaoshuhudia ni wanafunzi wa shule hiyo.

No comments:

Post a Comment