Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Monday, December 19, 2011

Hekaheka za si hasaaa....

KAFULILA WA NCCR MAGEUZI AVULIWA UANACHAMA

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila. 
Baada ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya NCCR-Mageuzi kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, na wenzake watatu, chama hicho kimewapa siku 14 za kukata rufaa kwenye Mkutano Mkuu kupinga uamuzi huo dhidi yao, huku kikimpa Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali, karipio kali kutokana na kujihusisha na mgogoro katika chama.

No comments:

Post a Comment