Msanii wa tasnia ya filamu nchini Wema Sepetu amezindua filamu yake mpya iitwayo SuperStar huku muigizaji ngulu wa nchini Nigeria Omotola Jalade akiwa mgeni wa busara.
Omotola (kushoto), akiwa na mwenyeji wake Wema Sepetu
Omotola (kushoto) akibadilishana mawazo na mwenyeji wake Wema Sepetu
No comments:
Post a Comment