Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Sunday, June 24, 2012

WANA- CHELSEA BONGO WAJUMUIKA KUFURAHIA UBINGWA WA ULAYA

Wapenzi wa mabingwa wapya wa ulaya, Chelsea FC ya Uingereza leo walikutata katika fukwe za msasani Beach Club kusherekea ubingwa wa ulaya walioupata msimu huu ulioisha. Wapenzi walisheherekea kwa kufanya michezo mbalimbali pamoja na kupata burudani za muziki kutoka bendi ya Akudo na Muumini Mwijuma.

 Wadau wakifurahia ushindi wa Chelsea

Kaka nanii nae hapitwi dah!

Wpenzi wa Chelsea wakishangilia.
 

Bendi ya Muumin Mwijuma ikitumbuiza


Furaha ilizidi kupamba moto

No comments:

Post a Comment