Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, June 20, 2012

EURO 2012





UINGEREZA YATINGA ROBO FAINALI

Timu ya taifa ya Uingereza jana usiku ilifanikiwa kuingia robo fainali ya michuano ya EURO 2012 baada ya kumfunga mwenyeji Ukrain kwa 1-0 ambapo bao la ushindi la uingereza lilifungwa na mchezaji anayechezea klabu ya Manchester United Wayne Rooney.

Mchezaji Wayne Rooney akipongezwa na mwenzie John Terry mara baada ya mechi kumalizika ambapo Uingereza walishinda 1-0

No comments:

Post a Comment