Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Tuesday, June 19, 2012

BURIANI DR. LYIMO DAIMA TUTAKUKUMBUKA

Taifa juma lililopita lilisikitika kumpoteza Daktari bingwa wa magonjwa ya Kansa katika Hospital ya Ocean Road Dar-es-Salaam ambaye alifariki baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa Kansa. Misa ya marehemu ilifanyika katika kanisa katoliki Upanga na baadae mazishi kufanyika kwao Marangu Moshi. Mwanga wa milele umwangazie eeh bwana, apumzike kwa amani amina

Mtoto wa kaka wa marehemu ndg. Frank J. Lyimo akisoma wasifu wa marehemu kanisani

No comments:

Post a Comment