Mkutano mkuu wa kila mwaka ulioandaliwa na benki ya maendeleo Afrika (AFDB) ukishirikisha asasi za kifedha uliofanyika hivi karibuni mkoani Arusha umemalizika kwa mafanikio ikiwa ni pamoja na kuitangaza nchi kimataifa.
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wageni wake rais wa Ivory Cost na Rais wa Morrocco
Wadau wa Mkutano wakifuatilia kwa makini mkutano.
Kaka nanii nae aliwakilisha
No comments:
Post a Comment