Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Friday, September 28, 2012

MADHARA YA MATUMIZI YA DAWA ZA KUKUZA MAKALIO

      Imebainika kuwa pamoja na dawa za kuongeza ukubwa wa makalio ya akina dada kupendwa, dawa hizo pia zina madhara kwa afya ya binadamu. Wataalamu wa mambo wanadai kwamba pamoja na kuongeza ukubwa wa makalio pia dawa huleta matalizo ya kuvimba kwa ngozi ya makalio katika mpangilio usio sahii. 
        Kadharika inasemekana dawa hizo pia zina uwezo wa kusababisha saratani. Chini picha zinazoonesha muonekano wa watumiaji wa dawa hizo.













NJOO TUFURAHI NA WEEKEND.


Wednesday, September 26, 2012

MAAJABU YA DUNIA MWANAMKE AMEJIFUNGUA FARASI KANISANI

Waumini wa kanisa la ‘World liberation Ministry’ linalopatikana katika mji wa Sepele nchini Benin walikumbwa na mshangao baada ya mwanamke mmoja kujifungua farasi wakati wa misa ya maombi iliyofanyika katika kanisa hilo.


Hata hivyo wakati waandishi wa habari walipofika katika kanisa hilo, tayari farasi huyo alikuwa ameshakufa. Inasemekana kuwa mwanamke huyo ambaye jina lake bado halijajulikana, alianza kupiga kelele wakati wa maombi na kisha kuanza kutoa damu katika sehemu zake za siri kabla ya kujifungua farasi huyo.

Msimamizi mkuu wa kanisa hilo, muinjilisti Silva Wealth alisema kuwa bado anashangazwa na kilichomtokea mwanamke huyo. Silva alisema kuwa wakati wa maombi alipata uono kuwa kuna mwanamke mwenye tatizo na kwamba kulikuwa kunakitu kinazuia...

Silva aliendelea kusema kuwa maombi yalipopamba kasi, mwanamke huyo alianza kupiga kelele kisha damu zikaanza kumtoka halafu kikamtoka hicho kitu.

“Siwezi kuelezea kitu hicho. Katika maombi yetu tumewahi kushuhudia watu wakitapika vitu mbalimbali, lakini sio kitu kama hiki.” Alisema muinjilisti Silva.

Mara baada ya taarifa hizo kuzagaa mitaani, watu mbalimbali walianza kukimbilia katika kanisa hilo ili kuweza kushuhudia kwa macho yao.  
Kwa hisani ya JF

Monday, September 24, 2012

USAILI VIDEO MPYA YA DIAMOND PLATNUMZ

Msanii Diamond Platnumz juzi jumamosi alifanya usaili wa kuwapata vijana wa kike na wakiume watakaoshiriki katika video yake mpya anayotegemea kuitoa hivi karibuni. Picha kwa hisani ya Bongo 5


 Diamond Platnumz akiwasili Nyumbani Lounge









 Vijana washiriki

 Akihojiwa na Dulla wa EATV


 Majaji wa shindano

Viduku navyo havikukosa

 Wadada wakijiandikisha



Gerrard: Refereeing decisions cost us

By Mike Whalley
Steven Gerrard believes that referee Mark Halsey got the major decisions wrong as Liverpool were beaten 2-1 by Manchester United at Anfield on Sunday.

 
Jonjo Shelvey was sent off in the first half for a challenge on Jonny Evans, and Luis Suarez had a second-half penalty appeal rejected, before United won the game with a dubious Robin van Persie spot kick.
Defeat has left Liverpool in the bottom three with just two points from five games, but fans chanted their support for manager Brendan Rodgers towards the end.
And Gerrard, who gave ten-man Liverpool the lead before United's fightback, was full of criticism for Halsey's performance.
"The lads performed really well both with 11 men and after we went down to 10," he told the Daily Post. "In these big games you need the rub of the green and things to go your way. You certainly don't need big refereeing decisions that are wrong going against you. That's what happened today and we feel hard done by."
Shelvey's red card followed after a two-footed lunge on Evans, however the Northern Ireland international appeared to dive into the challenge with both feet raised as well.
"I feel for Jonjo a bit. It's a big game and these games are about big tackles," Gerrard added. "I don't think he got the tackle wrong. If his tackle is wrong, then Evans' tackle is wrong as well. That's the consistency we're looking for from referees and Mark Halsey got that one wrong.
"We gave everything and came away with nothing. You can't criticise or point any fingers in the dressing room when the lads perform like that."
Shelvey, who angrily jabbed his finger at Sir Alex Ferguson after being shown the red card, took to Twitter afterwards to accuse Ferguson of getting him sent off, a claim the Manchester United manager dismissed.
He tweeted: "I apologise to the fans for getting sent off but no way was I pulling out of that tackle in a game of that importance. I'm sorry. I have also apologised to Sir Alex. Just where I come from, people don't grass people up to get someone sent off."
Ferguson, however, argued that the sending off was the right decision after the match.
"Jonjo Shelvey's sending off was a clear red card, there was a dangerous attempt to go for the ball," he said. "Jonny Evans went for the ball and got it, and I don't think there was any other decision referee could make. He blamed me! But he is young and he will realise the stupidity of it."

VURUGU KWENYE NYUMBA YA IBADA...

Askofu Mkuu wa Angikana Tanzania,la Dk. Valentino Mkowa aliyevuliwa kofia ya kiaskofu akiwa chini ya ulinzi wa polisi waliokuwa wamevalia kiraia wakimtoa nje ya Kanisa la Anglikana la watakatifu wote mjini Sumbawanga baada ya kuzuka kwa vuguru kubwa jana. Picha na Mussa Mwangoka.




Waumini wa Kanisa la Anglikana la watakatifu wote mjini Sumbawanga jana wakipiga kelele kupinga uamuzi wa nyumba ya maaskofu wa kuridhia askofu Mathayo Kasagara kuwa kiongozi wao ambapo vurugu kubwa zilizuka na kusababisha askofu Mkuu wa kanisa hilo Dk Mokiwa kuondolewa akiwa chini ya ulinzi wa polisi. PIcha na Mussa Mwangoka


Sunday, September 23, 2012

HARUSI YA JOSEPH MWINGEREZA YAFANA

Harusi ya kukata na shoka ilifanyika siku ya jumamosi tarehe 22/09/2012 kati ya Bw. Joseph Mwingereza na mkewe Agness Mgeni katika kanisa la St. Peter na baadae katika tafrija iliyofanyika katika kumbi za Sun Set mbezi Dar-es-Salaam. Picha kwa hisani ya Sumsung  Galaxy II
Bwana na Bibi Harusi wakiingia ukumbini

Kamati ya maandalizi

Kimila zaidi
Pongezi!
Keki ya wazazi

Zawadi ya hundi ya fedha toka kwa marafiki "wana-Chimwaga"





 Wakati wa chakula


Vinywaji vilikuwepo vya kutosha!



Waalikwa wakiwa na furaha



MSIBA WA MZEE WETU JOHN MASASI

Ndugu na jamaa wa familia ya Masasi wamesikitika kumpoteza baba yao mpendwa bwana John Masasi aliyefariki na kuzikwa siku ya Ijumaa tarehe 21/09/2012 nyumbani kwake Kimara suka Dar-es-Salaam.
Mwili wa marehemu ukishuswha kaburini
Waombolezaji wakiwa na huzuni

Saturday, September 22, 2012

SENDOFF YA DADA AGNES KWA MWINGEREZA

Familia ya dada Agnes Mgeni alhamisi ilimfanyia tafrija ya kumuaga mtoto wao mpendwa Agnes anaetarajia kufunga ndoa siku ya jumamosi tarehe 22/9/2012 na mchumba wake Joseph Mwingereza. picha kwa hisani ya Samsung II Galaxy.


 Bibi harusi mtarajiwa
Bwana Harusi mtarajiwa Bw. Joseph Mwingereza

 Watarajiwa

 Wandau wakisheherekea na kaka nanii kwa mbaali!

 Akienda kumsaka wake wa moyo

Zawadi ya Agnes kwa Joseph!
 Haa! haa! kumbe ni vyote avipendavyo Agnes na Liverpool!
 
Wgeni waalikwa wakifurahi!