Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Sunday, September 23, 2012

HARUSI YA JOSEPH MWINGEREZA YAFANA

Harusi ya kukata na shoka ilifanyika siku ya jumamosi tarehe 22/09/2012 kati ya Bw. Joseph Mwingereza na mkewe Agness Mgeni katika kanisa la St. Peter na baadae katika tafrija iliyofanyika katika kumbi za Sun Set mbezi Dar-es-Salaam. Picha kwa hisani ya Sumsung  Galaxy II
Bwana na Bibi Harusi wakiingia ukumbini

Kamati ya maandalizi

Kimila zaidi
Pongezi!
Keki ya wazazi

Zawadi ya hundi ya fedha toka kwa marafiki "wana-Chimwaga"





 Wakati wa chakula


Vinywaji vilikuwepo vya kutosha!



Waalikwa wakiwa na furaha



1 comment: