Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Friday, September 21, 2012

MKUTANO WA MAAFISA UGAVI WA SERIKALI WAHITIMISHWA

Mkutano wa maafisa Ugavi wote waliopo chini ya Idara mbalimbali za Serikali umefanyika katika ukumbi wa TIA na kufikia azimio moja la kuboresha utendaji wao wa kazi katika vituo vyao vya kazi

 Kamishna wa Idaya ya Sera ya Ununuzi wa Umma Dr. F. Mwakibinga akiendesha mkutano

   Maafisa Ugavi wakifuatilia mkutano kwa umakini
 Wadau wa Sekta ya Ugavi wakiwa makini

        Somo linaingia



Mara baada ya Mkutano kumalizika

No comments:

Post a Comment