Ndugu na jamaa wa familia ya Masasi wamesikitika kumpoteza baba yao mpendwa bwana John Masasi aliyefariki na kuzikwa siku ya Ijumaa tarehe 21/09/2012 nyumbani kwake Kimara suka Dar-es-Salaam.
Mwili wa marehemu ukishuswha kaburini
Waombolezaji wakiwa na huzuni
No comments:
Post a Comment