Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, January 6, 2011

MAANDAMANO NA VURUGU ZA KISIASA ARUSHA

Viongozi wa CHADEMA wakishirikiana na wanachama wao katika maandamano mjini Arusha leo

 Wanachama wa CHADEMA wakizuiwa na Askali wa kutuliza ghasia.
 Wanachama wa CHADEMA wakitaka kuandamana kwa amani.
 Mabomu ya machozi yakipigwa na FFU kutawanya waandamanaji.

 Jiji la Arusha likijaa moshi wa machozi kwa aliyekuwemi na asiyekuwemo.

         Askali wa kikosi cha FFU wakitanda barabarani kwa doria

                    Magari ya askali yakiwa mitaani

 Raia wema na wapita njia wakibubujikwa na machozi kutokana na mabomu

  Mke wa Katibu mkuu wa CHADEMA akivuja damu baada ya kupigwa na Askali
                     Akijisalimisha kwa Askali wa FFU.

        Askali wakijaribu kutaka kuendelea kumwadhibu

Mke wa katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa wa CHADEMA akivuja damu baada ya kujeruhiwa katika vulugu zilizotokea katika maandamano hayo.

Habari zilizomfikia kaka zinasema Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Slaa na Mbunge wa Arusha Mh. Ndesamburo wametiwa mbaroni kutokana na vurugu hizo! Je kulikuwa hakuna njia mbadala ya kutuliza maandamano bila ya kipigo? Je maandamano hayo hayakuwa ya amani???

No comments:

Post a Comment