Bendi ya Mapacha watatu inayoundwa na Kharid Chokoraa, Jose Mara Na Kalala Junior leo walionekana wakifanya shooting ya single yao mpya inayojulikana kwa jina la Muhudu katika maeneo ya Sneak Peak. Haya wadau tuisubili kwa hamu single hiyo katika Luninga zetu tuone jinsi wazee walivyokandamiza......