Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, October 4, 2012

YANGA NA SIMBA HAKUNA MBABE

Timu za Yanga na Simba jana ziligawana point baada ya kutoka suluhu ya kufungana 1-1 katika mechi ya Ligi kuu iliyofanyika katika uwanja mpya wa taifa. (Picha kwa hisani ya Samsung Galaxy II) 

 Yanga wakishangilia bao la kusawazisha

Mdau kaka nanii akifuatilia mpambano.

No comments:

Post a Comment