Yule mtaalam mwenye dawa ya kutega wanaume na wanawake wakware waliozoea kuiba wake na waume za watu na kufanya wang'ang'aniane wakati wakifanya uchafu wao inasemekana ameingia mjini toka nchini Uganda ambapo alikuwa akifanya shughuri zake huko.
Hii ni moja ya kazi zake
No comments:
Post a Comment