Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Tuesday, October 2, 2012

NI YANGA AU SIMBA KESHO?

Yanga SC ikiwa imewasambaratisha wapinzani wao wa jadi Simba SC katika vita ya usajili itakuwa inataka kuhamishia ubabe wake huo uwanjani swali je Yanga itaweza kufanya kile ilichokifanya nje ya uwanja? Kujibu swali hili hii inaifanya Mechi hii ya watani wa jadi kuwa Bonge la Mechi la kukata na shoka, lakini hii inaweza kuwa ni nje ya uwanja kutokana na matukio lukuki yaliyojitokeza hivi karibuni kati ya timu hizi mbili kongwe na hasimu.
                                             
      Mashabiki wa Yanga na Simba 

 Timu ya Simba


Tmu ya Yanga



No comments:

Post a Comment