Timu ya kamba ya wanaume ya Wizara ya Fedha "Hazina Sports Club" leo imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali katika michezo ya SHIMIWI inayofanyika mjini morogoro baada ya kuivuta timu ya Ofisi ya Makamu wa Rais. Picha kwa hisani ya Cox Kakoko.
Timu ikijiandaa
Timu ya hazina vitani.
Cox wa hazina akiwa mazoezini.
No comments:
Post a Comment