Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, April 11, 2012

KANUMBA'S DEATH....

ELIZABETH ‘Lulu’ MICHAEL WAS BROUGHT TO COURT TODAY

 Elizabeth Michael on Good Friday before Kanumba's death

We have received unconfirmed reports that actress Lulu was brought to court this morning to face charges for her involvement in the death of boyfriend and actor Steven Kanumba. Sources say she was brought to the Kisutu Resident Magistrate’s Court earlier today where Judge Augustino Mmbando read her charges, however Lulu could not reply to them since this court does not handle murder trials.

Sources say that the case is scheduled to be heard o the 23rd of April, and that Lulu was swiftly brought in and out of court under heavy security.

Tuesday, April 10, 2012

Breaking Newsss!!!!

WEMA SEPETU AZIMIA NA KUKIMBIZWA HOSPITAL WAKATI WA MAZISHI YA KANUMBA




MUIGIZAJI MAARUFU WEMA SEPETU AKIWA AMEBEBWA NA WASAMALIA WEMA MARA BAADA YA KUZIRAI WAKATI WA MAZISHI YA MSANII kANUMBA! INASEMEKANA AMEPELEKWA HOSPITAL KWA MATIBABU ZAIDI.....
(Habari na Dar-es-Salaam yetu Blog)

Kwa heri Kanumba.....

MATUKIO YA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU KANUMBA

Viongozi wakiwasili Leaders


Kwaya ya Injili ikiomboleza

Watoto walioigiza na Ancle JJ nao wakiingia.

Dada wa Marehemu akiwa amezimia.

Mama wa marehemu Stevin Kanumba akipungia mikono waombolezaji

Mwili wa marehemu ukiwasili




Huduma ya kwanza

Makamu wa Rais

Mama Salma Kikwete


Sugu


Monday, April 9, 2012

..Safari ya milele ya Steven.....



RATIBA YA MAZISHI YA KANUMBA

Mwili wa marehemu Steven Kanumba utachukuliwa kwa msafara kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili saa 2:30 asubuhi. Utapitishwa Barabara ya Umoja wa Mataifa na Ali Hassan Mwinyi hadi Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni ambako Misa ya kumuombea itasomwa pamoja na salamu mbalimbali kabla ya watu wote kumuaga.


Wito unatolewa kwa watu kujitokeza kwa wingi kuanzia saa 2:00 asubuhi, wakijipanga kando ya Barabara za Umoja wa Mataifa na Ali Hassan Mwinyi ili wautolee heshima mwili wa Kanumba wakati ukitolewa Muhimbili kwenda Leaders Club.


Saa 3:30 asubuhi, mwili wa Kanumba utapokelewa Viwanja vya Leaders, ukitanguliwa na mapokezi ya wazazi wake, viongozi mbalimbali wa serikali ambao juu yao kabisa atakuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Gharib Bilal.


Saa 4:00, itakuwa ni muda wa kusoma Misa ambayo itachukua dakika 60, saa 5:00 kitakuwa kipindi cha salamu kutoka kwa watu mbalimbali.


Saa 6:00 mchana, ratiba ya kumuaga Kanumba itaanza mpaka saa 9:00 alasiri na baada ya hapo, utakuwa wakati wa kuusafirisha mwili kwa msafara kutoka Leaders Club mpaka Makaburi ya Kinondoni, msafara ukipita Barabara ya Tunisia, utakatisha Barabara ya Kinondoni kuelekea makaburini.


Saa 10:00 alasiri, mazishi yatafanyika kwa kufuata utaratibu wa imani ya marehemu.


Kamati ya Mazishi inatoa wito kwa watu watakaohudhuria shughuli ya kumzika ndugu yetu Kanumba, kuja na maua ili kumuaga kwa heshima.

Utulivu, unyenyekevu na ustahimilivu ni mambo muhimu yanayohitajika katika kipindi chote cha kumuaga mpendwa wetu Kanumba.

Bwana alitoa, Bwana ametwaa. Sisi wote tulimpenda kwa dhati na tulitamani aendelee kuwa nasi siku zote ila Mungu aliyemleta kwa mapenzi yake ameamua kumchukua. Jina lake lihimidiwe.



                                            K.N.Y GABRIEL MTITU

                                   MWENYEKITI WA KAMATI YA MAZISHI


 

Saturday, April 7, 2012

Breaking News...... Steven Kanumba afariki Dunia!

MASKINI KANUMBA...MAJONZI NCHI NZIMA !

Ni alfajiri kabisa kama saa 12 hivi watu wengine wakiwa ndio wanaamka na wengine wakienda kulala na kupata mshtuko wa kuondokewa na kipenzi chao kwenye tasnia ya filamu hapa bongo Steven Kanumba nyumbani kwake Sinza Vatican. Chazo kinasema Kanumba alitoka kuoga na kumkuta Lulu ambaye inasemekana ni wapenzi akiongea na simu ndipo hapo ugomvi ulipoanzia mpaka kanumba kujikuta akidondokea kisogo na kutokwa na damu nyingi. 
 
Kwa sasa msanii wa kike Lulu anashikiliwa na police kwa maelezo zaidi, mdogo wake kanumba athibitisha uwepo wa lulu wakati Kanumba akipatwa na matatizo yaliyosababisha kifo chake, anasema wawilihao walikuwa na mabishano makubwa kabla ya Lulu hajatoka ndani kumuita na kumwambia kwamba Kanumba amedondoka na anatokwa na mapovu mdomoni.



HISTORIA YAKE:
Steven Charles Kanumbaa alizaliwa Januari 8, mwaka 1984 mkoani Shinyanga kabla ya umauti kumfiia Aprili 6, mwaka 2012.
 
Elimu ya msingi alipata katika shule ya Bugoyi, na baadaye akajiunga na  sekondari ya Mwadui, kabla ya kuhamia Dar Christian Seminary.
Baada ya kumaliza Kidato cha Nne Dar Christian, Kanumba alijiunga na sekondari ya Jitegemee, Dar es Salaam pia kwa elimu ya Kidato cha Tano na Sita.
 
Ni ni wakati huo akiwa Jitegemee Kanumba alianza shughuli za sanaa katika Kundi la Kaole Sanaa Group la Magomeni, Dar es Salaam.
Baada ya kukomaa Kaole, Kanumba aliamua kuanzisha kampuni yake mwenyewe ya filamu na hadi anakutwa na umauti alikuwa mwigizaji anayefahamika Afrika nzima.
 
Ameshirikiana na wasanii wakubwa duniani kama Ramsey Nouah wa Nigeria na amefanya kazi na mastaa wengine kadhaa wa Nigeria.
Miongoni mwa filamu ambazo alifanya ni Dar To Lagos, She is My Sister, Ancle JJ, Oprah, Tufani, Johari, Gharika, Baragumu, Sikitiko Langu, Dangerous Desire, Cross My Sin, Village Pastor, Family Tears na kadhalika.
 
Hivi karibuni, alikaririwa akisema atagombea Ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.
 
Kanumba atakumbukwa na wengi sana kwa ucheshi wake- upole na ushirikiano mzuri na wenzake katika kazi.
 
Kifo cha Kanumba ni pigo katika tasniya ya filamu Tanzania. Taifa limempoteza mtu ambaye alikwishaanza kuitangaza vema nchi kupitia sanaa hiyo na ambaye angetarajiwa kuitangaza zaidi katika anga za kimataifa zaidi kupitia sanaa hii.
 
Nigeria sasa wanajua Tanzania sasa filamu. Nchi nyingi za Afrika zinajua sasa nah ii sehemu ya kazi nzuri kwa Kanumba.
Mwenyewe aliwahi kukaririwa alifika hadi Hollywood hadi Marekani, ambayo ni ‘makka’ ya wacheza filamu. Kwa sasa mwili wa marehemu upo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
Mungu aiweke pema peponi roho ya marehemu. Amin.

Tuesday, March 27, 2012

BREAKING NEWS:

INTER MILAN YAMTIMUA RANIERI

Inter Milan wamemtimua kocha Claudio Ranieri, katika siku ambayo Raisi wa klabu hiyo Massimo Morratti alisema kocha huyo wa zamani wa Chelsea, Valencia na Roma angekaa katika benchi la ufundi mpaka mwishoni mwa msimu.

The Nerazzurri walifungwa 2-0 na Juventus jumapili iliyopita, kuongeza presha kwa Ranieri na kuchangia Moratti kutoa kauli ya: "Nafikiri Ranieri atabakia mpaka mwishoni mwa msimu."

Lakini la kushangaza masaa kadhaa baada ya kauli hiyo ya mwenye timu, klabu ilitangaza kupitia mtandao wake kwamba Ranieri amefukuzwa kazi, hivyo kumaanisha kwamba Milan sasa watakuwa wamefundishwa na makocha watatu ndani ya msimu baada ya kumteua kocha wa timu ya vijana Andrea Stramaccioni kubeba jahazi hadi mwishoni mwa msimu, akirithi nafasi ambayo ilimshinda Gian Piero Gasparini na Ranieri.

Kocha wa zamani wa Chelsea Andre Villas-Boas anabakia kuwa mtu wakwanza anayepewa nafasi ya kuchukua majukumu ya kuifundish klabu hiyo msimu ujao.

Thursday, March 15, 2012

Ajali! Ajali! Aijali.....

SIKU NILIYOPATA AJALI TABATA MAENEO YA DAR WEST TABATA

 Sehemu ya tairi ya mbele ikiwa imeharibika vibaya

Kioo cha mbele kikiwa kimealibika baada ya gari kupinduka










Thursday, February 16, 2012

UEFA Champions League......

GUNNERS SUFFER HUMILIATION AT SUN SIRO


Arsenal's Champions League dreams were shattered by a humiliating 4-0 defeat to AC Milan in the first leg of their last 16 clash at the San Siro.

Kevin-Prince Boateng fired the Italians ahead on 15 minutes with a sublime strike, before two goals by former Manchester City frontman Robinho and a penalty from the impressive Zlatan Ibrahimovic put the tie beyond the Gunners.
Arsenal never really settled and were punished for some careless possession - and not even the introduction of former captain Thierry Henry in the final game of his loan spell from New York Red Bulls could spark a fairytale comeback.
The heaviest European away defeat for Arsenal will be a bitter pill to swallow, but Arsene Wenger must lift his squad again for what is now a crucial FA Cup fifth-round tie at Sunderland on Saturday ahead of the Premier League derby with Tottenham - when the Gunners will look to keep alive hopes of qualifying again for the Champions League with a top-four finish.
Milan had not won any of their previous seven matches against English clubs, knocked out of the Champions League at this stage by Tottenham last season.
However, the Serie A leaders never looked in danger of a repeat, well organised from kick-off as Arsenal struggled to get any sort of foothold, regardless of a poor San Siro pitch which had recently seen the turf relaid down the flanks.
Veteran Dutchman Clarence Seedorf - a European Cup winner with three different clubs - drilled a low effort into the side-netting, before going off with what appeared to be a hamstring injury - compatriot Urby Emanuelson replacing him.
Boateng fired the Italians ahead with a quarter of an hour gone. The former Portsmouth and Tottenham midfielder collected a chip to the edge of the Arsenal penalty area on his chest, before turning to fire the ball over Wojciech Szczesny and in off the underside of the crossbar.
Van Persie's cut-back was blocked as the Gunners captain got clear down the left, before Laurent Koscielny's flicked header from a floated 25th minute free-kick was straight at Milan goalkeeper Christian Abbiati.
Thomas Vermaelen lost out to Robinho, who darted clear but then then failed to cross for Ibrahimovic - who was clear in the middle - as Koscielny made a saving block.
It was 2-0 in the 38th minute when Ibrahimovic charged down the left channel and crossed for Robinho to nod in from six yards.
Two minutes before the break, Koscielny hobbled off and was replaced by Johan Djourou - and another change followed at the start of the second half as Theo Walcott was replaced by Henry.
However, before the World Cup winner had a chance to make an impact, Milan extended their lead.
Vermaelen slipped, which gave Robinho the space to shoot at the edge of the box, and the Brazilian - whose £32.5million transfer to City in 2008 shattered the British record fee - slammed home what looked to be a tie-clinching third goal in the 49th minute.
It was now a case of damage limitation for Arsenal - and it could have been worse but for a complete miskick by Luca Antonini when he was set free following another swift counter.
The value of an away goal, however, meant the tie would still be alive were the English side to fashion a meaningful opportunity of their own.
Abbiati produced a brilliant one-handed save to turn around van Persie's volley after a flick-on by Henry on 65 minutes.
Alex Oxlade-Chamberlain replaced Kieran Gibbs as Alex Song dropped into the back four.
However, any hopes of comeback were ended in the 78th minute when Djourou bundled over Ibrahimovic to concede a somewhat soft penalty, which the big Swede slotted into the bottom right corner, leaving Arsenal a mountain to climb in the return leg at Emirates Stadium on March 6.

Monday, January 30, 2012

Dr. Mwakyembe Aondoa hofu!!

DK. HARRISON MWAKYEMBE AJITOKEZA NA KUSHIRIKI MISA KWA MCHUNGAJI GWAJIMA KAWE

Mbunge wa Kahama Bw. James Lembeli kushoto , akizungumza na Dk. Harrison Mwakyembe wakati wa ibada hiyo


 Dk Harrison Mwakyembe akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada

 
Waziri wa Afrika Mashariki Samwel Sitta akiongea katika ibada hiyo na kumkaribisha Dk Harrison Mwakyembe ili kuzungumza machache na waumini wa kanisa hilo na kutoa ushuhuda wake.



 Waziri wa Afrika Mashariki Samwel Sitta akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada

 
Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima lilloko Kawe Tanganyika Pakers akimkaribisha Dk Harrison Mwakyembe Mbunge wa Kyela na Naibu Waziri wa Ujenzi katika ibada iliyofanyika leo kwenye kanisa hilo na kuhudhuriwa na Waziri wa Afrika Mashariki mzee Samwel Sitta na baadhi ya wabunge kadhaa


Mchungaji Maximilian Machumu wa kanisa la Ufufuo na Uzima akiwa katika ibada

Baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakitawanyika baada ya kumalizika kwa ibada hiyo
(Picha zote ni kwa hisani ya Full Shangwe Blog)

Wednesday, January 25, 2012

HEALTH FACTS.....

WASH BEFORE WEARING....
It is horrible. Guys tell your wife, sisters, girlfriends, and girl cousins wash bra before wearing.

ALL PLEASE WASH ALL BRAS, UNDERWEAR WHEN YOU BUY BEFORE WEARING THEM. WE DO NOT KNOW WHAT PARASITE IS IN OUR CLOTHES WHEN WE BUY THEM. FORWARD TO EVERYBODY YOU KNOW. LET ME FORE WARN YOU THIS IS SO SQUIMISH, I FEEL LIKE SOMETHING IS CRAWLING ALL OVER ME EVEN AS I SEND THIS TO YOU. BE AWARE. IT IS SO GROTESQUE. PLEASE WASH YOUR UNDERWEAR BEFORE WEARING. PREFERABLY IN BOILING HOT WATER.

This is not for the weak; I have never seen anything like this. Read the article first before looking at the picture and film. This looks horrible. Oh my God!!!!!!! Ladies this could happen to you and Guys this could happen to your wife, girlfriend, partner so please BEWARE,and also warn others.

It has been reported that this is happening in Kenya as well, please make sure you iron your undergarments before you wear them and make sure that your clothes are ironed when they are dry and not damp. The picture is horrible but I felt that I should share with you. After anthropologist Susan McKinley came back home from an expedition in South America, she noticed a very strange rash on her left breast. Nobody knew what it was and she quickly dismissed it believing that the holes 
would leave in time. Upon her return she decided to see a doctor after she started developing intense pains. The doctor, not knowing the exact severity of the disease, gave her antibiotics and special creams. As time lapsed the pain did not subside and her left breast became more inflamed and started to bleed.

She decided to bandage her sores however as Susan's pain grew more intense she decided to seek help from a more certified doctor. Dr. Lynch could not diagnose the infection and told Susan to seek the aid of one of his colleagues who specialized in dermatology whom was sadly on vacation. She waited for two weeks and finally was able to react the dermatologist.

Sadly,a life changing event was about to unfold during her appointment.
To Miss McKinley's surprise, after she removed the bandages, they found larva growing and squirming within the pores and sores of her breast. Sometimes these wicked creatures would all together simultaneously move around into different crevices.

What she didn't know was that the holes were in fact, deeper than she had originally thought for these larvae were feeding off the fat, tissue, and even milk canals of her bosom.


Wednesday, January 4, 2012

Breaking News.......................!

CUF YAMTIMUA UANACHAMA MH. HAMAD RASHID


Mbunge wa chama cha CUF jimbo la Wawi Hamad Rashid leo jioni hii amesimamishwa uanachanma na mkutano wa Halmashauri kuu ya chama hicho.

Tuesday, January 3, 2012

Wahanga wa Mafuriko....

CUF YATOA MISAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO YA JANGWANI


Naibu Katibu Mkuu, Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Julius Mtatilo (kushoto), akikabidhi msaada wa mfuko wa unga wa sembe jana kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Kigogo, Bw. Emmanuel Riwa, kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dar es Salaam hivi karibuni.