Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, February 9, 2017

SAKATA LA VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA...MANJI AITIKIA WITO LEO POLISI

Mfanyabiashara mashuhuri nchini Yusuph Manji leo aliitikia wito wa mkuu wa Mkoa Mh. Makonda wa kuripoti katika kituo cha kati cha Polisi kwa ajili ya mahojiano kuhusu vita dhidi ya madawa ya kulevya. Hata hivyo Manji ambaye alitakiwa afike kituoni hapo siku ya Ijumaa amefika leo kituoni hapo huku sababu za kuwahi kwake zikiwa hazijulikani.

Picha na ripota wetu.

      Mashuhuda wakishuhudia




 Akiwasili....




Akiongea na baadhi ya Wadau

No comments:

Post a Comment