Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Friday, June 20, 2014

UINGEREZA YAPIGISHWA KWATA NA URUGUAY

Mshambuliaji wa timu ya Liverpool Luis Suarez jana aliongoza maangamizi ya kwa timu ya Uingereza dhidi ya timu ya taia lake la Uruguay.
Suarez alikua muiba mchungu kwa Uingereza baada ya kufunga mabao yote mawili na hivyo kuizamisha kwa mabao 2-1.

Suarez akishangilia bao lake la kwanza 
Suarez akifunga bao la pili 
Luis Suarez akishangilia bao la pili na wenzake 
Luis Suarez akiwasikiliza mashabiki kwa furaha 

No comments:

Post a Comment