Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, June 19, 2014

IVORY COAST YABAMIZWA NA COLOMBIA

Timu ya taifa ya Ivory Coast leo imefungwa mabao 2-1 na timu ya Colombia katika mashindano ya kombe la dunia yanayoendelea nchini Brazil.

Yaya toure wa Ivory Coast akifanya yake 
 
 




  Gervinho na Tiote wakipongezana

Yaya Toure akisikitika baada ya mchezo kumalizika 
Rodriguez wa Colombia akishangilia na wenzake 

No comments:

Post a Comment