Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, January 2, 2014

WAZIRI WA FEDHA WA TANZANIA DR. MGIMWA AFARIKI DUNIA

Waziri wa Fedha wa Tanzania Dr. Mgimwa amefariki dunia jana tarehe 1 Juanuary 2014 nchini Afrika ya Kusini alipokuwa amelwazwa kwa matibabu. Mwili wa marehemu utawasili kwa ndege kutoka nchini Afrika ya Kusini siko ya Jumamosi na baadae Jumatatu kusafirishwa mkoani Iringa kwa ajili ya mazishi. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMINA.


Waziri wa Fedha Dr. Mgimwa enzi za uhai wake.

No comments:

Post a Comment