Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, January 22, 2014

MANAIBU WAZIRI WIZARA YA FEDHA WAINGIA OFISINI LEO

Manaibu waziri wapya wa wizara ya fedha leo wamewasili katika ofisi zao tayari kuanza kazi baada ya kuapishwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete siku chache zilizopita. Manaibu hao Mh.Mwigulu Nchemba na Adam Malima walilakiwa na wafanyakazi wlte wa wizara ya fedha.
Mh. Mwigulu Nchemba.
Mh. Adam Malima
Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha.

No comments:

Post a Comment