Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, December 12, 2013

MDAU FRANK KANANI AFUNGA NDOA NA BI. MARIA SABEGA

Mkurugenzi wa blog hii ya Njia ya Kanani Bw. Frank J. Kanani jumamosi ya tarehe 9 Novemba alifunga pingu za maisha na Bi. Maria Sabega katika Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Batholomayo lililopo Ubungo jijini Dar-es-Salaam na baadae katika tafrija iliyofanyika katika ukumbi wa Delux Sinza.

Bw. Frank J. Kanani na Bi. Harusi Maria Sabega.

Agano la ndoa.





















No comments:

Post a Comment