Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Friday, December 6, 2013

NELSON MANDELA AFARIKI DUNIA

Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini Bw. Nelson Mandela "Madiba" amefariki dunia jana katika hospitali aliyokuwa amelazwa kwa muda mrefu. Habari kutoka katika chombo kinachoaminika zinasema marehemu Mandela aliaga dunia jana na maandalizi ya mazishi yanafanywa.

No comments:

Post a Comment