Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Friday, February 4, 2011

UDSM WATAKA KUANDAMANA LEO



Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam maarufu kama Mlimani walipanga kuandamana leo kuanzia chuoni hadi Ikulu wakidai nyogeza ya fedha ya chakula.

Lakini hadi kufikia saa mbili asubuhi walikuwa bado hawajapata kibali cha maandamano hayo. Askali wa kikosi cha kutuliza ghasia FFU waliolionekana wakiranda mitaani tayari kwa kutuliza maandamano hayo.

No comments:

Post a Comment