Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Monday, February 21, 2011

DUNIA KWELI IMEISHA.....

NABII FEKI TITO AJA NA VITUKO VYA POMBE DAWA

Jina la Nabii Titto sio geni miongoni mwa wakazi wa jiji la Dar. Yeye anahubiri matumizi ya pombe kwa kutumia Biblia,anasema kuwa mungu ameruhusu watu wanywe pombe kwani ni tiba sahihi kwa magonjwa mbalimbali. Wadau kama sio uchizi huu ni nini?


 Nabii Tito akishika pombe na kitabu cha dini.


Juma Chikoka (Chopa mchopanga) akiwa na Jackline Wolper na Johari wakimsikiliza Nabii Titto kwa umakini mkubwa





             Kipeperushi hiki cha Nabii Titto kiliniacha hoi

Sikuamini maneno yake akatumwa mtu alete pombe na Nabii Titto bila hiyana kudhihirisha umma akakata safari beer,Wadau mpooo

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-996yXzHY5N6iGLn6lEk0uR9DtPmxdXkJVjbfRdRo0riRniO9WUVWBaszmQhCGi7f-pFckMGodam6iv9OwZXjm4sOJEZ_mu1ooP8Ar9rWq9g5h9HkG_CWq4FjP-Ke8B0DuUx284z6LVU/s400/DSC02444.JPG
 

    Nabii Titto akinukuu neno kutoka kwenye kitabu cha      mungu(BIBLIA)kinachoruhusu matumizi ya pombe huku pombe yake ikiwa pembeni.



1 comment: