Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, February 16, 2011

VILIO VYATAWALA GONGOLAMBOTO

MABOMU YALIPUKA GONGOLAMBOTO JANA USIKU



Usiku huu hali shwari katika maeneo ya Gongolamboto, kisarawe na jiji zima la Dar-es-Salaam Kiujumla kutokana na mabomu yanayolipuka kwa kasi kutoka katika kambi mojawapo ya JWTZ iliyipo katika maeneo hayo!

Msemaji wa JWTZ amesema haijulikani mabomu hayo yataisha saa ngapi. Wakazi wa maeneo hayo na ya karibu wanashauliwa kukimbilia maeneo ya katikati ya mji ili kujinusuru na mhanga huu.

Habari zisizo rasmi zinadai kuwa mali nyingi na nyumba zinaendelea kuharibika kutokana na milipuko hii inayoendelea. Habari zaidi kama zinavyoonekana katika picha.



Picha inayoonyesha mwanga mlipuko angani.
Baadhi ya wahanga wa mabomu wakikimbizwa hospital.



Wakazi wa Gongolamboto wakikimbia kutoka majumbani kwao.

Miale mikubwa ya moto ikionekana toka pande zote za jiji la Dar-es-Salaam 

  
Moja kati ya nyumba zilizotuliwa na mabomu.

Kombola likiwa limetua kwenye moja ya kuta.




Wakazi wa Kimara wakiangalia mabomu yaliyotua katika maeneo yao.

No comments:

Post a Comment