Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, December 31, 2014

MTUHUMIWA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MAHAKAMANI

Mtuhumiwa wa kesi ya madawa ya kulevya leo majira ya asubuhi aliuwawa kwa kupigwa risasi na askari magereza baada ya kushindwa katika jaribio la kutoka kutoroka. Mtuhumiwa huyo akiwa amefikishwa mahakamani kutoka mahabusu aliwakimbia walizi hao na kuparamia ukuta wa mahakama akiwa na lengo la kutoroka kabla ya kuuwawa na askari hao waliokuwepo mahakamani hapo. Picha zaidi na wadau wetu. Baadhi ya picha kwa hisani ya Global Publishers

No comments:

Post a Comment