Sendoff ya Bi. Safii Ramadhani imefanyika usiku wa leo katika ukumbi wa Msasani Club na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali. Bi Safii anatarajia kufunga ndoa na Bw. Yusuph Mdoe Mwasala siku Ijumaa tarehe 21 na Sherehe siku inayofuta ya tarehe 22.
No comments:
Post a Comment