Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Monday, June 17, 2013

BOMU LAUA WAWILI ARUSHA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA

Mlipuko wa Bomu la kurushwa ulitokea Arusha na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeluhi wengine 70 wakati wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Udiwani wa Chama cha Chadema uliofanyika katika Uwanja wa Soweto Kata ya Kaloleni mjini Arusha. Mkutano huo ulikuwa ukiendeshwa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema ambao wote wawili walinusurika. Serikali na uongozi mzima wa blog hii unalaani vikali vitendo hivi vya uvunjifu wa amani hapa nchini. Mungu ibariki Tanzania.

Mmoja kati ya watoto walioathirika na mlipuko






No comments:

Post a Comment