Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Sunday, May 12, 2013

MABALOZI WA UMOJA WA ULAYA WASHEHEREKEA SIKU YAO KWA KUCHEZA MECHI NA WIZARA YA FEDHA

Mabalozi wa nchi za Umoja wa Ulaya EU jana walisheherekea siku yao kwa kufanya bonanza la mpira wa miguu katika uwanja wa Karume kwa kupambana na timu ya Wizara ya Fedha (Hazina Sports).
Matokeo katika mchezo huo ni kwamba Mabalozi wa EU waliondoka uwanjani kifua mbele kwa ushindi wa mabao 5-2 dhidi Wizara ya fedha

Zawadi ya Ngao kama ishara ya Ushirikiano 
 
Timu ya Wizara ya Fedha
 
 
Timu ya Mabarozi wa Ulaya
 
 
Timu zote mbili kwa pamoja baada ya mchezo.
 

1 comment:

  1. Hi there to every , for the reason that I am truly eager
    of reading this web site's post to be updated on a regular basis. It consists of fastidious information.

    Also visit my site; laser cellulite treatment

    ReplyDelete