Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Friday, May 24, 2013

KONGAMANO LA MAAFISA UNUNUZI NA UGAVI LAANZA MOROGORO

Kongamano la pili la maafisa Ununuzi na Ugavi Serikalini limeanza leo mjini Morogoro katika ukumbi wa Hoteli ya Nashera.
Kongamano hilo lililoandaliwa na Idara Sera ya Ununuzi wa Umma chini ya Wizara ya Fedha likiwa na kauli mbiu "Ununuzi Makini kwa Maendeleo ya Taifa" linatazamiwa kuwa la siku mbili kuanzia tarehe 24-25 Mei 2013.

Wajumbe wa Mkutano

Wajumbe wa Sekretarieti

Wajumbe wa Sekretarieti.


No comments:

Post a Comment