Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Saturday, February 14, 2015

VIKOSI VYA KIGAIDI VYAJERUI ASKARI POLISI WANNE KATIKA MAPAMBANO TANGA.

Kumekuwa na mapambano yanayoendelea katika mapango ya amboni kati ya askari wa jeshi la polisi na kikundi cha kigaidi kinachosemekana kuweka kambi katika mapango hayo.
Habari zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa katika mapambano hayo ya kivita askari wa nne wamejuruhiwa vibaya. Tutawaletea taarifa kadri zitakavyokuwa zinapatikana. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Askari akiwa katika doria.
 
Askari wakishuka katika helikopta tayari kwa mapmbano. 
 
Kituo cha Habari ITV kikitangaza mapigano hayo. 

No comments:

Post a Comment