Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, July 2, 2014

BREAKING NEWS!!! MAJAMBAZI YAFANYA JARIBIO LA KUTOROSHA WAFUNGWA

Habari za kuaminika zimeifikia blog hii leo mchana zikisema majambazi yasiyojulikana leo katika maeneo ya Mikocheni karibu na TMJ Hospital yaliirushia risasi basi lililokuwa limebeba wafungwa katika jitihada za kutaka kuwatorosha wafungwa. Hadi tunapata habari hizi ilikuwa haijulikani kama kuna yeyote aliyejeruhiwa au kupoteza maisha katika shambulio hilo. Hali kadharika haijulikani kama kuna mfungwa yeyote aliyetoroshwa hadi sasa!


 
 
 Watu wakiwa wamekusanyika kwenye tukio

 
Gari lililobeba wafungwa likiwa limevunjwa vioo
 

No comments:

Post a Comment