Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Wednesday, November 7, 2012

NI OBAMA TENA MAREKANI

Wananchi wa Marekani usiku wa kuamkia jana kwa mara nyingine walimchagua rais Barack Obama kuendelea kuwaonhoza katika kipindi kingine cha miaka minne ijayo. Katika kinyang'anyiro hicho cha uchaguzi rais Obama alimuangusha mpinzani wake Romney kwa kura za majimbo


No comments:

Post a Comment