Timu ya taifa ya Italy jana iliiondosha katika mashindano ya kombe la Ulaya timu ya taifa ya Uingereza baada ya kuifunga kwa mikwaju ya penati 4-2 baada ya kuchoshana nguvu kwa kutoka suluhu ya 0-0 katika kipindi cha dakika 120. Picha kwa hisani ya Sky Sports.
No comments:
Post a Comment