Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Tuesday, March 27, 2012

BREAKING NEWS:

INTER MILAN YAMTIMUA RANIERI

Inter Milan wamemtimua kocha Claudio Ranieri, katika siku ambayo Raisi wa klabu hiyo Massimo Morratti alisema kocha huyo wa zamani wa Chelsea, Valencia na Roma angekaa katika benchi la ufundi mpaka mwishoni mwa msimu.

The Nerazzurri walifungwa 2-0 na Juventus jumapili iliyopita, kuongeza presha kwa Ranieri na kuchangia Moratti kutoa kauli ya: "Nafikiri Ranieri atabakia mpaka mwishoni mwa msimu."

Lakini la kushangaza masaa kadhaa baada ya kauli hiyo ya mwenye timu, klabu ilitangaza kupitia mtandao wake kwamba Ranieri amefukuzwa kazi, hivyo kumaanisha kwamba Milan sasa watakuwa wamefundishwa na makocha watatu ndani ya msimu baada ya kumteua kocha wa timu ya vijana Andrea Stramaccioni kubeba jahazi hadi mwishoni mwa msimu, akirithi nafasi ambayo ilimshinda Gian Piero Gasparini na Ranieri.

Kocha wa zamani wa Chelsea Andre Villas-Boas anabakia kuwa mtu wakwanza anayepewa nafasi ya kuchukua majukumu ya kuifundish klabu hiyo msimu ujao.

Thursday, March 15, 2012

Ajali! Ajali! Aijali.....

SIKU NILIYOPATA AJALI TABATA MAENEO YA DAR WEST TABATA

 Sehemu ya tairi ya mbele ikiwa imeharibika vibaya

Kioo cha mbele kikiwa kimealibika baada ya gari kupinduka










Thursday, February 16, 2012

UEFA Champions League......

GUNNERS SUFFER HUMILIATION AT SUN SIRO


Arsenal's Champions League dreams were shattered by a humiliating 4-0 defeat to AC Milan in the first leg of their last 16 clash at the San Siro.

Kevin-Prince Boateng fired the Italians ahead on 15 minutes with a sublime strike, before two goals by former Manchester City frontman Robinho and a penalty from the impressive Zlatan Ibrahimovic put the tie beyond the Gunners.
Arsenal never really settled and were punished for some careless possession - and not even the introduction of former captain Thierry Henry in the final game of his loan spell from New York Red Bulls could spark a fairytale comeback.
The heaviest European away defeat for Arsenal will be a bitter pill to swallow, but Arsene Wenger must lift his squad again for what is now a crucial FA Cup fifth-round tie at Sunderland on Saturday ahead of the Premier League derby with Tottenham - when the Gunners will look to keep alive hopes of qualifying again for the Champions League with a top-four finish.
Milan had not won any of their previous seven matches against English clubs, knocked out of the Champions League at this stage by Tottenham last season.
However, the Serie A leaders never looked in danger of a repeat, well organised from kick-off as Arsenal struggled to get any sort of foothold, regardless of a poor San Siro pitch which had recently seen the turf relaid down the flanks.
Veteran Dutchman Clarence Seedorf - a European Cup winner with three different clubs - drilled a low effort into the side-netting, before going off with what appeared to be a hamstring injury - compatriot Urby Emanuelson replacing him.
Boateng fired the Italians ahead with a quarter of an hour gone. The former Portsmouth and Tottenham midfielder collected a chip to the edge of the Arsenal penalty area on his chest, before turning to fire the ball over Wojciech Szczesny and in off the underside of the crossbar.
Van Persie's cut-back was blocked as the Gunners captain got clear down the left, before Laurent Koscielny's flicked header from a floated 25th minute free-kick was straight at Milan goalkeeper Christian Abbiati.
Thomas Vermaelen lost out to Robinho, who darted clear but then then failed to cross for Ibrahimovic - who was clear in the middle - as Koscielny made a saving block.
It was 2-0 in the 38th minute when Ibrahimovic charged down the left channel and crossed for Robinho to nod in from six yards.
Two minutes before the break, Koscielny hobbled off and was replaced by Johan Djourou - and another change followed at the start of the second half as Theo Walcott was replaced by Henry.
However, before the World Cup winner had a chance to make an impact, Milan extended their lead.
Vermaelen slipped, which gave Robinho the space to shoot at the edge of the box, and the Brazilian - whose £32.5million transfer to City in 2008 shattered the British record fee - slammed home what looked to be a tie-clinching third goal in the 49th minute.
It was now a case of damage limitation for Arsenal - and it could have been worse but for a complete miskick by Luca Antonini when he was set free following another swift counter.
The value of an away goal, however, meant the tie would still be alive were the English side to fashion a meaningful opportunity of their own.
Abbiati produced a brilliant one-handed save to turn around van Persie's volley after a flick-on by Henry on 65 minutes.
Alex Oxlade-Chamberlain replaced Kieran Gibbs as Alex Song dropped into the back four.
However, any hopes of comeback were ended in the 78th minute when Djourou bundled over Ibrahimovic to concede a somewhat soft penalty, which the big Swede slotted into the bottom right corner, leaving Arsenal a mountain to climb in the return leg at Emirates Stadium on March 6.

Monday, January 30, 2012

Dr. Mwakyembe Aondoa hofu!!

DK. HARRISON MWAKYEMBE AJITOKEZA NA KUSHIRIKI MISA KWA MCHUNGAJI GWAJIMA KAWE

Mbunge wa Kahama Bw. James Lembeli kushoto , akizungumza na Dk. Harrison Mwakyembe wakati wa ibada hiyo


 Dk Harrison Mwakyembe akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada

 
Waziri wa Afrika Mashariki Samwel Sitta akiongea katika ibada hiyo na kumkaribisha Dk Harrison Mwakyembe ili kuzungumza machache na waumini wa kanisa hilo na kutoa ushuhuda wake.



 Waziri wa Afrika Mashariki Samwel Sitta akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada

 
Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima lilloko Kawe Tanganyika Pakers akimkaribisha Dk Harrison Mwakyembe Mbunge wa Kyela na Naibu Waziri wa Ujenzi katika ibada iliyofanyika leo kwenye kanisa hilo na kuhudhuriwa na Waziri wa Afrika Mashariki mzee Samwel Sitta na baadhi ya wabunge kadhaa


Mchungaji Maximilian Machumu wa kanisa la Ufufuo na Uzima akiwa katika ibada

Baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakitawanyika baada ya kumalizika kwa ibada hiyo
(Picha zote ni kwa hisani ya Full Shangwe Blog)

Wednesday, January 25, 2012

HEALTH FACTS.....

WASH BEFORE WEARING....
It is horrible. Guys tell your wife, sisters, girlfriends, and girl cousins wash bra before wearing.

ALL PLEASE WASH ALL BRAS, UNDERWEAR WHEN YOU BUY BEFORE WEARING THEM. WE DO NOT KNOW WHAT PARASITE IS IN OUR CLOTHES WHEN WE BUY THEM. FORWARD TO EVERYBODY YOU KNOW. LET ME FORE WARN YOU THIS IS SO SQUIMISH, I FEEL LIKE SOMETHING IS CRAWLING ALL OVER ME EVEN AS I SEND THIS TO YOU. BE AWARE. IT IS SO GROTESQUE. PLEASE WASH YOUR UNDERWEAR BEFORE WEARING. PREFERABLY IN BOILING HOT WATER.

This is not for the weak; I have never seen anything like this. Read the article first before looking at the picture and film. This looks horrible. Oh my God!!!!!!! Ladies this could happen to you and Guys this could happen to your wife, girlfriend, partner so please BEWARE,and also warn others.

It has been reported that this is happening in Kenya as well, please make sure you iron your undergarments before you wear them and make sure that your clothes are ironed when they are dry and not damp. The picture is horrible but I felt that I should share with you. After anthropologist Susan McKinley came back home from an expedition in South America, she noticed a very strange rash on her left breast. Nobody knew what it was and she quickly dismissed it believing that the holes 
would leave in time. Upon her return she decided to see a doctor after she started developing intense pains. The doctor, not knowing the exact severity of the disease, gave her antibiotics and special creams. As time lapsed the pain did not subside and her left breast became more inflamed and started to bleed.

She decided to bandage her sores however as Susan's pain grew more intense she decided to seek help from a more certified doctor. Dr. Lynch could not diagnose the infection and told Susan to seek the aid of one of his colleagues who specialized in dermatology whom was sadly on vacation. She waited for two weeks and finally was able to react the dermatologist.

Sadly,a life changing event was about to unfold during her appointment.
To Miss McKinley's surprise, after she removed the bandages, they found larva growing and squirming within the pores and sores of her breast. Sometimes these wicked creatures would all together simultaneously move around into different crevices.

What she didn't know was that the holes were in fact, deeper than she had originally thought for these larvae were feeding off the fat, tissue, and even milk canals of her bosom.


Wednesday, January 4, 2012

Breaking News.......................!

CUF YAMTIMUA UANACHAMA MH. HAMAD RASHID


Mbunge wa chama cha CUF jimbo la Wawi Hamad Rashid leo jioni hii amesimamishwa uanachanma na mkutano wa Halmashauri kuu ya chama hicho.

Tuesday, January 3, 2012

Wahanga wa Mafuriko....

CUF YATOA MISAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO YA JANGWANI


Naibu Katibu Mkuu, Chama cha Wananchi (CUF), Bw. Julius Mtatilo (kushoto), akikabidhi msaada wa mfuko wa unga wa sembe jana kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Kigogo, Bw. Emmanuel Riwa, kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea Dar es Salaam hivi karibuni.

Friday, December 30, 2011

Uhaba wa Maji...

BANK YA KCB YATOA MSAADA WA VISIMA

Meneja wa Benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha, Bi Judith Lubuva (kushoto), akimtwisha ndoo ya maji, mwanafunzi Samwel John wa shule ya Msingi Meru, baada ya kuzindua kisima cha maji, kilichochimbwa kwa msaada wa benki hiyo, Jijini Arusha juzi, Wanaoshuhudia ni wanafunzi wa shule hiyo.

Harusi.....

MUIGIZAJI KUTOKA NIGERIA "AKI" AACHANA NA  UKAPERA!

Busu zito la bibi harusi Mwaaaa!

Bibi harusi akila kiapo cha ndoa

Bibi na bwana harusi baada ya kufunga ndoa

Bibi harusi akiketi ili akumbatiwe vizuri!

Best man Ukwa na P-Squre wakipiga picha na Maharusi!


Best Man Ukwa na bwana harusi Aki

Maharusi wakifungua mziki!

Gari lililowabeba bwana na Bibi harusi
(Picha kwa hisani ya kanumba the great)

Wednesday, December 28, 2011

Masaada!

VODACOM TANZANIA YAHAMASISHA KUCHANGIA WAHANGA WA MAFURIKO


Ndugu  zetu waliopatwa na janga la mafuriko bado wanahitaji misaada yetu Watanzania  tafdhal endelea kuchangia kwa Kupitia nambari ya Red Alert 15599  mteja anaweza kuchangia shilingi 500 kwa kutuma ujumbe mfupi  – SMS wenye neno MAAFA na hakuna ukomo wa ujumbe na  kwa njia ya m-pesa mteja anaweza kuchangia kuanzia shilingi  1,000 na zaidi kwenda nambari 155990.


Jinsi  ya kuchangia kwa m-pesa
 

*150*00# kupata orodha  ya huduma za m-pesa.
 

Hatua  ya 2: Chagua 4 – Lipa Bili
 

Hatua  ya 3: Weka namba ya kampuni – weka namba 155990
 

Hatua  ya 4: Weka namba ya kumbukumbu – weka namba yako ya simu
 

Hatua  ya 5: Weka kiasi – ni kuanzia Tsh 1,000 na kuendelea
 

Hatua  ya 6: Weka namba yako ya siri
 
Hatua  ya 7: Bonyeza 1 kwa kuhakikisha muamala na tayari utakuwa umeshachangia.

Sunday, December 25, 2011

Merry X-Mass!

SIKUKUU NJEMA WADAU
Menejimenti ya Blog nzima ya Njia ya Kanani inapenda kuwatakia sikukuu njema za X-Mass na mwaka mpya wa 2011 wadau wote wanaotembelea blog hii na wale ambao hawajawahi na kuwaahidi kuboresha habari ma matukio yanayojili. Mungu awabariki nyote!


Friday, December 23, 2011

Breaking News...!

BASI LA NGORIKA YAPATA AJALI

 Basi la Ngorika limepata ajali leo mida ya saa 4 asubuhi maeneo ya Mkata likielekea Moshi kutoka Da-es-salaam na kupinduka pembeni ya barabara. Habari zinasema hakuna abilia aliyepoteza maisha katika ajali hiyo.

Athari za Mafuriko ya Dar.....!

MAISHA YAANZA UPYA BAADA YA MAFURIKO
Wakazi wa jiji la Dar-es-Saalaam wameaanza maisha yao upya baada ya kunusurika kwenye mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali iliyonyesha usiku wa kuamkia jana na juzi jijini.

Wakazi wa jangwani wakifanya ukarabati ili waendelee na maisha

Moja ya kambi za waathirika.

Mawazo kibarazani.

Nguo zikiwa zimeanikwa katika kambi ya waathirika wa mafuriko katika shule ya msingi mchikichini.

Maisha kambini.

Huruma, Familia iliopoteza makazi wakiwa shuleni