Monday, July 8, 2013
Thursday, June 27, 2013
IDARA YA KOMPYUTA WIZARA YA FEDHA YAMUAGA MSTAAFU MAMA NYONGEJA
Idara ya usimamizi wa mifumo ya kifedha katika Wizara ya Fedha leo walifanya tafrija fupi wizarani ya kumuuaga mtumishi mwenzao aliyestaafu kazi kitokana na sheria za kiutumishi Serikalini.
Saturday, June 22, 2013
HARUSI YA YUSUPH MDOE KATIKA UKUMBI WA KIRAMUU MBEZI
Mdau Yusuph Mdoe jioni ya leo alimaliza wiki yake ya harusi kwa sherehe kubwa ya kukata na shoka iliyofanyika katika ukumbi wa Kiramuu Mbezi. Picha na Maria Sabega.
Friday, June 21, 2013
MDAU YUSUPH MDOE NA BI. SAFII WAFUNGA NDOA
Mdau Yusuph Mdoe jioni ya leo amefunga pingu za maisha na Bi. Safii katika msikiti wa Upanga na sherehe zitaendelea hadi kesho. Picha na mdau ngoda!
Wednesday, June 19, 2013
SENDOFF YA BI. SAFII RAMADHANI MSASANI CLUB
Sendoff ya Bi. Safii Ramadhani imefanyika usiku wa leo katika ukumbi wa Msasani Club na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali. Bi Safii anatarajia kufunga ndoa na Bw. Yusuph Mdoe Mwasala siku Ijumaa tarehe 21 na Sherehe siku inayofuta ya tarehe 22.
Subscribe to:
Posts (Atom)