Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, March 24, 2016

MAKONDA, MKUU MPYA WA MKOA MWENYE HOFU YA MUNGU

Mkuu mpya wa mkoa wa Dar-es-Salaam Mh. Paul Makonda ameonesha ni kiongozi shupavu na mwenye hofu ya Mungu. Hayo yamethibitika baada ya kuonekana akipata mibaraka kutoka kwa viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Kiongozi wa Wakatoliki Kadinali Pengo.

Tuesday, March 15, 2016

EPL: LEICESTER CITY YAIBANJUA NEWCASTLE UNITED NA KUJIIMARISHA KILELENI

Timu ya soka ya Leicester City imeibanjua timu ya Newcastle kwa bao moja bila na kuendelea kuongoza ligi kuu ya England.
Katika mchezo huo, mshambuliaji kutoka Japani Ozaki aliipayia timu yake bao pekee la ushindi.

Monday, March 14, 2016

PICHA 7: MBWANA SAMATTA ALIVYONG'AA UBELIGIJI

Mshambuliaji wa timu ya KRC Genk ya nchini Ubeligiji Mtanzania Ally Mbwana Samatta ameendelea kuwika mwishoni mwajuma hili baada ya kuiongoza timu yake kuibanjua timu ya Oostvede FC kwa magoli 4-1 katika dimba lao la nyumbani.
Samatta alikuwa wa kwanza kuifungia timu yake bao katika dk 23 baada ya kuunganisha kwa kichwa cha kuibia krosi iliyopigwa kutoka upande wa kushoto. Mpaka sasa Samatta ameshacheza mechi 6 na amekwisha funga jumla ya mabao 2.

Akiwahadaa wazungu.....

Samatta akifunga bao kwa kichwa

Samatta akipongezwa na wenzake..