Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, July 24, 2014

MKE WA MTU SUMU! JAMAA APIGWA NA SULULU KATIKA FUMANIZI

 
Samahani kwa picha zitakazofuatia katika habari hii. Jamaa mmoja mkoani Mara amenusurika kupoteza maisha baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mtu kitendo kilichopelekea kupigwa Sululu kichwani na mmiliki wa mke huyo. Habari zilizotufikia zimedai kuwa baada ya kupigwa na sululu hilo mtuumiwa aliwahishwa hospitali kwa matibabu. Hadi tunapata habari hizi hatukuwaeza kujua hali halisi ya mhanga huyo!

 
Sululu likiwa limenasa katika kichwa

Madaktari wakijitahidi kuokoa maisha ya mtuhumiwa

 
Baada ya kushonwa 

Wednesday, July 2, 2014

BREAKING NEWS!!! MAJAMBAZI YAFANYA JARIBIO LA KUTOROSHA WAFUNGWA

Habari za kuaminika zimeifikia blog hii leo mchana zikisema majambazi yasiyojulikana leo katika maeneo ya Mikocheni karibu na TMJ Hospital yaliirushia risasi basi lililokuwa limebeba wafungwa katika jitihada za kutaka kuwatorosha wafungwa. Hadi tunapata habari hizi ilikuwa haijulikani kama kuna yeyote aliyejeruhiwa au kupoteza maisha katika shambulio hilo. Hali kadharika haijulikani kama kuna mfungwa yeyote aliyetoroshwa hadi sasa!


 
 
 Watu wakiwa wamekusanyika kwenye tukio

 
Gari lililobeba wafungwa likiwa limevunjwa vioo