Advert


java

Connectify - Turn Your PC into a Wi-Fi Hotspot. Install now!

Thursday, January 23, 2014

JUAN MATA KAMILISHA DILI LA KUJIUNGA NA NA MAN UNITED


Club ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza imekubali ofa ya paund za kiingereza £37million kutoka kwa Club pinzani ya Manchester United, kama ada ya uamisho wa kiungo mshambuliaji Juan Mata na mapema iwezekanavyo mchezaji huyu wa kimataifa wa Hispania ataruhusiwa kujiunga na Manchester United kukamilisha hilo dili hili katika kipindi hiki cha dirisha dogo.



Mata atachukua vipimo siku ya Alhamisi kabla ya kukamilisha uamisho wake, ambao utamfanya kupata mara mbili ya mshahara aliokuwa anaupata chelsea kwa wiki.
Juan Mata

Wednesday, January 22, 2014

MANAIBU WAZIRI WIZARA YA FEDHA WAINGIA OFISINI LEO

Manaibu waziri wapya wa wizara ya fedha leo wamewasili katika ofisi zao tayari kuanza kazi baada ya kuapishwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete siku chache zilizopita. Manaibu hao Mh.Mwigulu Nchemba na Adam Malima walilakiwa na wafanyakazi wlte wa wizara ya fedha.
Mh. Mwigulu Nchemba.
Mh. Adam Malima
Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha.

Thursday, January 2, 2014

WAZIRI WA FEDHA WA TANZANIA DR. MGIMWA AFARIKI DUNIA

Waziri wa Fedha wa Tanzania Dr. Mgimwa amefariki dunia jana tarehe 1 Juanuary 2014 nchini Afrika ya Kusini alipokuwa amelwazwa kwa matibabu. Mwili wa marehemu utawasili kwa ndege kutoka nchini Afrika ya Kusini siko ya Jumamosi na baadae Jumatatu kusafirishwa mkoani Iringa kwa ajili ya mazishi. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMINA.


Waziri wa Fedha Dr. Mgimwa enzi za uhai wake.